102 Mungu na Aguse Roho Zetu Mara Nyingine Tena

1

Eh Mungu! Roho Wako anatoa neema

juu ya watu wa dunia,

hivyo moyo wangu unakugeukia kikamilifu,

hivyo roho yangu inaweza kuguswa,

na naweza kuona uzuri Wako katika roho yangu na moyo wangu,

na wale walio duniani wanaweza kuona uzuri Wako.

Eh Mungu, Roho Wako na aguse roho zetu mara nyingine tena.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe.

Ndiyo, tuguse mara nyingine, eh, tuguse mara nyingine, eh Mungu.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe, eh Mungu!

2

Anachofanya Mungu kwanza ni kuijaribu mioyo yetu.

Atazigusa roho zetu

tunapomimina mioyo yetu ndani Yake.

Ni katika roho tu ndiyo tunaweza kuona Mungu ni mkuu,

Yeye ni mzuri na mkuu.

Hii ndiyo njia ya Roho katika mwanadamu.

Eh Mungu, Roho Wako na aguse roho zetu mara nyingine tena.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe.

Ndiyo, tuguse mara nyingine, eh, tuguse mara nyingine, eh Mungu.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe, eh Mungu, eh Mungu, eh.

Eh Mungu, Roho Wako na aguse roho zetu mara nyingine tena.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe.

Ndiyo, tuguse mara nyingine, eh, tuguse mara nyingine, eh Mungu.

Ziguse roho zetu, ili upendo wetu uwe wa kudumu

na usiobadilika kamwe, eh Mungu, eh Mungu, eh Mungu.

Iliyotangulia:  101 Nisingekuwa Nimeokolewa na Mungu

Inayofuata:  103 Yasifu Maisha Mapya

Maudhui Yanayohusiana

Mipangilio

  • Matini
  • Mada

Rangi imara

Mada

Fonti

Ukubwa wa Fonti

Nafasi ya Mstari

Nafasi ya Mstari

Upana wa ukurasa

Yaliyomo

Tafuta

  • Tafuta Katika Maneno Haya
  • Tafuta Katika Kitabu Hiki

Connect with us on Messenger